MECHI ya Ligi Kuu Tanzania Bara baina ya wenyeji, Polisi Tanzania dhidi ya mabingwa watetezi, Simba SC itachezwa Aprili 10, mwaka huu kuanzia Saa 10:00 jioni Uwanja wa Ushirika mjini Moshi mkoani Kilimanjaro.
Awali mchezo huo ulipangwa kufanyika Machi 15, lakini ukaahirishwa kutokana na Simba kukabiliwa na michuano ya Afrika.
0 comments:
Post a Comment