• HABARI MPYA

    Sunday, April 24, 2022

    MAMELODI NJE, AHLY YATINGA NUSU FAINALI


    VIGOGO, Mamelodi Sundowns wametupwa nje ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 nyumbani na Atlético Petróleos ya Angola katika mchezo wa marudiano wa Robo Fainali hivyo kutolewa kwa jumla ya mabao 3-2, kufuatia kuchapwa 2-1 kwenye mechi ya kwanzq Jijini Luanda wiki iliyopita.
    Mabingwa watetezi, Al Ahly wao wametinga Nusu Fainali baada ya kulazimisha sare ya 1-1 na wenyeji, Raja Club Athletic jana Uwanja wa Mfalme Mohamed wa 5 Jijini Casablanca na wanasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 3-2 kufuatia kushinda 2-1 Cairo wiki iliyopita.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAMELODI NJE, AHLY YATINGA NUSU FAINALI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top