KIUNGO Mzambia wa Simba SC, Clatous Chota Chama ndiye mshindi wa tuzo ya Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kwa mwezi Machi, mwaka huu msimu wa 2021-2022.
Aidha, kocha wake, Mspaniola Pablo Franco Martin ameshinda tuzo ya kocha mwezi huo, wakati Meneja Bora wa Uwanja ni Gordon Nsajigwa wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
0 comments:
Post a Comment