// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
BARCELONA YAPIGWA 3-2 CAMP NOU NA KUTUPWA MJE EUROPA LEAGUE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEBARCELONA YAPIGWA 3-2 CAMP NOU NA KUTUPWA MJE EUROPA LEAGUE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
BARCELONA YAPIGWA 3-2 CAMP NOU NA KUTUPWA MJE EUROPA LEAGUE
WENYEJI, Barcelona wametupwa nje UEFA Europa League baada ya kuchapwa 3-2 na Eintracht Frankurt ya Ujerumani usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou, Barcelona nchini Hispania. Mabao ya Eintracht Frankurt yalifungwa na Filip Kostic mawili dakika ya nne kwa penalti na 69 na Santos Borre dakika ya 36, wakati ya Barca yalifungwa na Sergio Busquets dakika ya 90 na ushei na Memphis Depay kwa penalti dakika ya ushei pia. Kwa matokeo hayo, Eintracht Frankurt wanakwenda Nusu Fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-3 kufuatia sare ya 1-1 kwenye mechi ya kwanza Ujerumani.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment