• HABARI MPYA

    Thursday, April 28, 2022

    BASHUNGWA MGENI RASMI MECHI YA WATANI, MANARA MWANACHAMA YANGA


    WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Innocent Bashungwa ndiye atakuwa mgeni rasmi kwenye mchezo wa watani wa jadi, Simba na Yanga Jumamosi Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.



    Wakati huo huo, Msemaji wa Yanga, Haji Manara leo amekabidhiwa ya uanachama wa kidijitali ya klabu hiyo.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BASHUNGWA MGENI RASMI MECHI YA WATANI, MANARA MWANACHAMA YANGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top