• HABARI MPYA

    Friday, September 25, 2020

    YANGA SC WALIVYOWASILI MOROGORO LEO KWA AJILI YA MCHEZO NA MTIBWA SUGAR JUMAPILI UWANJA WA JAMHURI

    Kiungo mshambuliaji wa Yanga SC, Mkongo Tuisila Kisinda baada ya kikosi cha timu hiyo kuwasili mjino Morogoro mchana wa leo kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya wenyeji, Mtibwa Sugar Jumapili Uwanja wa Jamhuri mjini humo 


    Kipa Mkenya wa Yanga SC, Farouk Shikhalo baada ya kikosi cha timu hiyo kuwasili mjini Morogoro mchana wa leo kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya wenyeji, Mtibwa Sugar Jumapili Uwanja wa Jamhuri mjini humo 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC WALIVYOWASILI MOROGORO LEO KWA AJILI YA MCHEZO NA MTIBWA SUGAR JUMAPILI UWANJA WA JAMHURI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top