Wachezaji wa Chelsea wakipongezana kwa ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Brighton & Hove Albion usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa The Amex. Mabao ya The Blues yalifungwa na Jorginho kwa penalti dakika ya 23, Reece James dakika ya 56 na Kurt Zouma dakika ya 66, wakati la Brighton lilifungwa na Leandro Trossard dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Simone Biles reveals terrifying health scare and says she 'almost died' in
hospital this week
-
In a post on her story, alongside a photo of her wearing several hospital
wristbands, she wrote: 'I'm not one to normally share things like this
because I ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment