Wachezaji wa Chelsea wakipongezana kwa ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Brighton & Hove Albion usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa The Amex. Mabao ya The Blues yalifungwa na Jorginho kwa penalti dakika ya 23, Reece James dakika ya 56 na Kurt Zouma dakika ya 66, wakati la Brighton lilifungwa na Leandro Trossard dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Draper and Norrie through at Indian Wells
-
Jack Draper fights back from a set down to get his Indian Wells title
defence off to a winning start, as fellow Briton Cameron Norrie also
reaches the thir...
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment