• HABARI MPYA

    Monday, September 28, 2020

    TAYLOR AMMALIZA KHONGSONG KWA KO NDANI YA SEKUNDE 161


    Josh Taylor akiwa ameshika mikanda ya WBA na IBF baada ya kummaliza Apinun Khongsong kwa Knockout (KO) ndani ya sekunde 161 katika pambano la uzito wa welter jana ukumbi wa York Hall,
    York Hall, Bethnal Green nchini Scotland na kutetea mataji yake hayo PICHA ZAIDI GONGA HAPA

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TAYLOR AMMALIZA KHONGSONG KWA KO NDANI YA SEKUNDE 161 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top