• HABARI MPYA

    Wednesday, September 30, 2020

    YANGA SC IMEIPIGA KMKM 2-0 CHAMAZI LEO MABAO YOTE AMEFUNGA KIUNGO MKONGO TONOMBE MUKOKO


    Wachezaji wa Yanga SC wakimpongeza kiungo Mkongo, Tonombe Mukoko baada ya kufunga mabao yote mawili dakika za 11 na 31 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya KMKM ya Zanzibar kwenye mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi nje kdogo ya Jiji la Dar es Salaam

    Kiungo Muangola, Carlos Carlinhos akiambaa na mpira kwenye mchezo dhidi ya KMKM leo Chamazi
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC IMEIPIGA KMKM 2-0 CHAMAZI LEO MABAO YOTE AMEFUNGA KIUNGO MKONGO TONOMBE MUKOKO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top