• HABARI MPYA

    Tuesday, September 08, 2020

    ITALIA YAIZIMA UHOLANZI KWAO, YAWACHAPA 1-0 AMSTERDAM

    Kiungo Nicolo Barella akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Italia dakika ya 45 ikiwachapa wenyeji, Uholanzi 1-0 katika mchezo wa Kund la Kwanza Ligi ya Mataifa ya Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Johan Cruijff Arena Jijini Amsterdam 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ITALIA YAIZIMA UHOLANZI KWAO, YAWACHAPA 1-0 AMSTERDAM Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top