// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
MAN UNITED YAANZA VIBAYA LIGI KUU ENGLAND, YAPIGWA 3-1 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEMAN UNITED YAANZA VIBAYA LIGI KUU ENGLAND, YAPIGWA 3-1 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
MAN UNITED YAANZA VIBAYA LIGI KUU ENGLAND, YAPIGWA 3-1
TIMU ya Manchester United imeanza vibaya Ligi Kuu ya England baada ya kuchapwa mabao 3-1 na Crystal Palace leo Uwanja wa Old Trafford.
Mabao ya Crystal Palace yamefungwa na Andros Townsend dakika ya saba na Wilfried Zaha mawili, moja kwa penalti dakika ya 74 na lingine dakika ya 85, wakati bao pekee la Man Unted limefungwa na kiungo mpya, Donny van de Beek dakika ya 80PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ISN appoints Young-Esumeh CEO
-
Internet Solutions Nigeria Limited (ISN) has announce the appointment of
Mrs. Oluwakemi Young-Esumeh as its new chief executive officer, effective
April ...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment