• HABARI MPYA

    Wednesday, September 16, 2020

    PRINCE DUBE AFUNGA TENA LAKINI AZAM FC YACHAPWA MABAO 2-1 NA TRANSIT CAMP CHAMAZI

    MSHAMBULIAJI mpya, Mzimbabwe, Prince Dube (kushoto) na leo amefunga kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Transit Camp ya Daraja la kwanza, lakini Azam FC imechapwa 2-1 Uwanja wa pili wa Azam Complex, Chamazi nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.

    Mabao ya Transit Camp inayomilikwa na Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), ambayo inajiandaa na Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara yamefungwa na Abdallah Kheri aliyejifunga na Damas Makwaya.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PRINCE DUBE AFUNGA TENA LAKINI AZAM FC YACHAPWA MABAO 2-1 NA TRANSIT CAMP CHAMAZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top