Mshambuliaji Olivier Giroud akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Ufaransa bao la nne dakika ya 77 kwa penalti hilo likiwa bao lake la 40 timu yake ya taifa katika ushindi wa Ufaransa wa 4-2 dhidi ya Croatia usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi la Tatu Ligi ya Mataifa Ulaya Uwanja wa Stade de France Jijini Paris. Mabao mengne ya Ufaransa yamefungwa na Antoine Griezmann dakika ya 43, Dominik Livakovic dakika ya 45, Dayot Upamecano dakika ya 65, wakati ya Croatia yamefungwa na Dejan Lovren dakika ya 16 na Josip Brekalo dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The Australian Open's biggest loser: Austrian player celebrates 'winning' -
only to realise he's forgotten the rules - before collapsing and being
mocked by his rival
-
Sebastian Ofner suffered a brutal exit from Australian Open qualifying on
Wednesday afternoon after he appeared to forget the tournament's tiebreak
rules.
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment