Mshambuliaji Michy Batshuayi akishangilia baada ya kuifungia Ubelgiji mabao mawili dakika za 17 na 69 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Iceland kwenye mchezo wa Kundi la Pili Ligi ya Mataifa ya Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Stade Roi Baudouin Jijini Brussels. Mabao mengne ya Ubelgiji yamefungwa na Axel Witsel dakika ya 13, Dries Mertens dakika ya 50 na Jeremy Doku dakika ya 79, wakati la Iceland lilifungwa na Holmbert Fridjonsson dakika ya 10 PCHA ZAD GONGA HAPA
Kendra Scott is using AI to support the 3 pillars of its employees: CEO
-
Kendra Scott CEO Chris Blakeslee sits down with Josh Lipton on Market
Domination Overtime to discuss the fashion brand's optimization problems
that AI is h...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment