Mshambuliaji Michy Batshuayi akishangilia baada ya kuifungia Ubelgiji mabao mawili dakika za 17 na 69 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Iceland kwenye mchezo wa Kundi la Pili Ligi ya Mataifa ya Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Stade Roi Baudouin Jijini Brussels. Mabao mengne ya Ubelgiji yamefungwa na Axel Witsel dakika ya 13, Dries Mertens dakika ya 50 na Jeremy Doku dakika ya 79, wakati la Iceland lilifungwa na Holmbert Fridjonsson dakika ya 10 PCHA ZAD GONGA HAPA
Erik ten Hag arrives at Carrington for first day of pre-season training as Man United flops return
-
Dutch boss ten Hag arrived on Monday at 8am at the training ground, driven
by a chauffeur, with his players reporting for pre-season training at
Carrington...
Dakika 14 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni