Mshambuliaji Michy Batshuayi akishangilia baada ya kuifungia Ubelgiji mabao mawili dakika za 17 na 69 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Iceland kwenye mchezo wa Kundi la Pili Ligi ya Mataifa ya Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Stade Roi Baudouin Jijini Brussels. Mabao mengne ya Ubelgiji yamefungwa na Axel Witsel dakika ya 13, Dries Mertens dakika ya 50 na Jeremy Doku dakika ya 79, wakati la Iceland lilifungwa na Holmbert Fridjonsson dakika ya 10 PCHA ZAD GONGA HAPA
PREM Rugby transfers: Leicester in for Mako Vunipola after shock Courtney
Lawes approach, Saracens poach Bath cult hero, latest on new Harlequins and
Gloucester head coaches and why Newcastle are ready to reel in world-class
star
-
Former England stars are dotted around France, where contract renewals take
place late in the season - meaning the likes of Mako Vunipola and Courtney
Lawe...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment