BEKI wa Manchester City, Joao Cancelo akishangilia baada ya kuifungia Ureno bao la kwanza dakika ya 41 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Croatia kwenye mchezo wa Kundi la Tatu Ligi ya Mataifa ya Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Do Dragao Jijini Porto. Mabao mengine ya Ureno iliyomkosa nyota wake, Cristiano Ronaldo yalifungwa na Diogo Jota dakika ya 58, Joao Felix dakika ya 70 na Andre Silva dakika ya 90 na ushei, wakati la Croatia lilifungwa na Bruno Petkovic dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
PREM Rugby transfers: Leicester in for Mako Vunipola after shock Courtney
Lawes approach, Saracens poach Bath cult hero, latest on new Harlequins and
Gloucester head coaches and why Newcastle are ready to reel in world-class
star
-
Former England stars are dotted around France, where contract renewals take
place late in the season - meaning the likes of Mako Vunipola and Courtney
Lawe...
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment