AZAM FC WANAVYOJIFUA VIKALI KUJIANDAA NA MCHEZO WAO WA KWANZA WA LIGI KUU DHIDI YA POLISI TANZANIA JUMATATU CHAMAZI
Kiungo wa Azam FC, Mzimbabwe Never Tigere (kulia) akimiliki mpira pembeni ya beki Mgahana wa Azam FC, Yakubu Mohamed kwenye mazoezi ya timu hiyo kujiandaa na amchezo wake wa kwanza wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya Polisi Tanzania Jumatatu Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam
Wachezaji wa Azam FC wakifurahia kwenye mazoezi ya timu hiyo kujiandaa na amchezo wake wa kwanza wa Ligi Kuu dhidi ya Polisi Tanzania Jumatatu
Mshambuliaji wa Azam FC, Richard Ella D'jordi akifanya vitu vyake kwenye mazoezi ya timu hiyo kujiandaa na amchezo wake wa kwanza wa Ligi Kuu dhidi ya Polisi Tanzania Jumatatu
Kiungo wa Azam FC, Frank Raymond Domayo akimiliki mpira kwenye mazoezi ya timu hiyo kujiandaa na amchezo wake wa kwanza wa Ligi Kuu dhidi ya Polisi Tanzania Jumatatu
Wachezaji wa Azam FC wakijifua kujiandaa na amchezo wake wa kwanza wa Ligi Kuu dhidi ya Polisi Tanzania Jumatatu
Item Reviewed: AZAM FC WANAVYOJIFUA VIKALI KUJIANDAA NA MCHEZO WAO WA KWANZA WA LIGI KUU DHIDI YA POLISI TANZANIA JUMATATU CHAMAZI
Rating: 5
Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
Kwibuka28: Rwandans in Middle East commemorate
-
The Rwandan community in the Middle East countries of United Arab Emirates,
Saudi Arabia and Bahrain convened in Abu Dhabi and remotely to mark the
28th ...
Arsenal set to make improved Raphinha bid
-
Arsenal are expected to make an improved bid for Leeds
United forward Raphinha. Arsenal's opening bid for Raphinha was rejected as
it fell below Leeds' val...
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni