Serge Gnabry amefunga mabao matatu, mabingwa watetezi Bayern Munich wakiibuka na ushindi wa 8-0 dhidi ya Schalke 04 katika mchezo wa ufunguzi wa Bundesliga usiku wa Ijumaa Uwanja wa Allianz Arena Jijini Munich. Gnabry alifunga dakika ya nne, 47 na 59, wakati mabao mengine yamefungwa na Leon Goretzka dakika ya 19, Robert Lewandowski kwa penalti dakika ya 31, Thomas Muller dakika ya 69, Leroy Sane dakika ya 71 na Jamal Muisala dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kendra Scott is using AI to support the 3 pillars of its employees: CEO
-
Kendra Scott CEO Chris Blakeslee sits down with Josh Lipton on Market
Domination Overtime to discuss the fashion brand's optimization problems
that AI is h...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment