Serge Gnabry amefunga mabao matatu, mabingwa watetezi Bayern Munich wakiibuka na ushindi wa 8-0 dhidi ya Schalke 04 katika mchezo wa ufunguzi wa Bundesliga usiku wa Ijumaa Uwanja wa Allianz Arena Jijini Munich. Gnabry alifunga dakika ya nne, 47 na 59, wakati mabao mengine yamefungwa na Leon Goretzka dakika ya 19, Robert Lewandowski kwa penalti dakika ya 31, Thomas Muller dakika ya 69, Leroy Sane dakika ya 71 na Jamal Muisala dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
He played one game for Tottenham EVER and it came against Arsenal in the
north London derby. Spurs ended up losing 4-1 - can you guess who he is?
-
It is set to be a red-hot atmosphere at the Tottenham Hotspur Stadium on
Sunday, and could come down to which of the two young teams can keep their
heads u...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment