Mkongwe James Milner akimpongeza kinda Harvey Elliott baada ya kuifungia Liverpool bao la nne dakika ya 69 katika ushindi wa 7-2 dhidi ya Blackpool kwenye mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa TBC. Mabao mengine ya Liveropool yamefungwa na Joel Matip dakika ya 43, Sadio Mané dakika ya 52, Roberto Firmino dakika ya 54, Takumi Minamino dakika ya 71, Divock Origi dakika ya 85 na Sepp Van den Berg dakika ya 88, wakati ya Blackpool yamefungwa na CJ Hamilton dakika ya 15 na Jerry Yates dakika ya 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea's Ziyech in talks with AC Milan
-
Italian side AC Milan is in talks to sign Hakim Ziyech from Chelsea.
Ziyech joined Chelsea two years ago from Ajax for a reported fee of £33m.
As reported...
Tinubu inside Fashola’s book
-
If you want to read the mind of APC Presidential candidate, Asiwaju Bola
Tinubu as a strategist, the book to read is:“FASHOLA, THE NIGERIAN DREAM—A
Polit...
5:0 gegen Düsseldorf: U23 gewinnt erstes Testspiel
-
Mit 5:0 hat Borussia Dortmunds U23 unter dem neuen Trainer Christian
Preußer die Zweitvertretung von Fortuna Düsseldorf geschlagen. Beim Test in
der Sports...
Women Deliver 2023 Conference: Why Rwanda?
-
Maliha Khan was born and raised in Pakistan, a country where women suffer
from pervasive gender-based violence, domestic abuse, honour killings, and
sexu...
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni