• HABARI MPYA

    Friday, September 04, 2020

    AMBAVYO ‘FUNDI’ KHLEFFIN HAMDOUN YUPO TAYARI KWA MSIMU MPYA WA LIGI KUU AZAM FC

    Kiungo Mzanzibar wa Azam FC, Khleffin Hamdoun akionyesha ufundi wake kwenye mazoezi ya timu hiyo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dares Salaam kujiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara.
    Azam FC itaanzia nyumbani na Polisi Tanzania Jumatatu. 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AMBAVYO ‘FUNDI’ KHLEFFIN HAMDOUN YUPO TAYARI KWA MSIMU MPYA WA LIGI KUU AZAM FC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top