• HABARI MPYA

    Wednesday, September 09, 2020

    RONALDO AWEKA REKODI MPYA URENO IKIICHAPA SWEDEN 2-0

    Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Ureno mabao yote, dakka za 45 na 72 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Sweden kwenye mchezo wa Kundi la Tatu Ligi ya Mataifa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Friends Arena Jijini Solna. Kwa mabao hayo, Ronaldo anakuwa mwanasoka wa pili wa kiume kuifungia nchi yake mabao 100, tangu afunge la kwanza kwenye fainali za Euro 2004 kwa kichwa dhidi ya Ugiriki. Gwiji wa Iran, Ali Daei ndiye anashikilia rekodi ya mabao ya 109 katika mechi 149 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO AWEKA REKODI MPYA URENO IKIICHAPA SWEDEN 2-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top