Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Ureno mabao yote, dakka za 45 na 72 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Sweden kwenye mchezo wa Kundi la Tatu Ligi ya Mataifa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Friends Arena Jijini Solna. Kwa mabao hayo, Ronaldo anakuwa mwanasoka wa pili wa kiume kuifungia nchi yake mabao 100, tangu afunge la kwanza kwenye fainali za Euro 2004 kwa kichwa dhidi ya Ugiriki. Gwiji wa Iran, Ali Daei ndiye anashikilia rekodi ya mabao ya 109 katika mechi 149 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
James Tedesco under fire with footy fans after blatant trip on Melbourne
Storm fullback Ryan Papenhuyzen - as Roosters star is hit with a feather by
NRL judiciary
-
Roosters star James Tedesco has learnt his fate after appearing to trip
Melbourne Storm fullback Ryan Papenhuyzen on Thursday night at Allianz
Stadium - an...
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment