Beki Antonio Rudiger akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Chelsea mabao yote mawili dakika za 46 na 71 katika sare ya 2-2 na wenyeji, Leicester City, ambayo mabao yake yamefungwa na Harvey Barnes dakika ya 54 na Ben Chilwell dakika ya 64 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa King Power PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Disaster strikes for highly-rated NFL Draft star Jermod McCoy as teams
completely ignore him in top 100 picks
-
The 6-foot-1, 188lb cornerback out of Tennessee was projected to be picked
in the top 20 in Pittsburgh, and had been holding out hopes for a top-10
selecti...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment