Beki Antonio Rudiger akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Chelsea mabao yote mawili dakika za 46 na 71 katika sare ya 2-2 na wenyeji, Leicester City, ambayo mabao yake yamefungwa na Harvey Barnes dakika ya 54 na Ben Chilwell dakika ya 64 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa King Power PICHA ZAIDI GONGA HAPA
No wonder ticket prices are sky high! FIFA confirm eye-watering World Cup
prize money as fans fume over costs
-
The eye-watering prize fund was approved by the footballing body at a
meeting in Doha on Tuesday ahead of FIFA's annual awards evening.
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment