Beki Antonio Rudiger akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Chelsea mabao yote mawili dakika za 46 na 71 katika sare ya 2-2 na wenyeji, Leicester City, ambayo mabao yake yamefungwa na Harvey Barnes dakika ya 54 na Ben Chilwell dakika ya 64 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa King Power PICHA ZAIDI GONGA HAPA
LeBron James, Lakers Trolled by NBA Fans After 3rd Straight Blown Lead vs.
Nuggets
-
The Los Angeles Lakers have held double-digit leads in each of their three
first-round playoff games against the Denver Nuggets, but all of them have
ended...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment