Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Real Madrid dakika ya 56 ikiwalaza mahasimu, Atletico Madrid 1-0 katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Bernabeu. Kwa ushindi huo, Real inafikisha point 49 katika mchezo wa 22 na kuendelea kuongoza La Liga, sasa ikiwazidi pointi sita mabingwa watetezi, Barcelona PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Knicks watch party in New York City descends into mass brawl as cops deploy
pepper spray in disgraceful scenes
-
Zohran Mamdani announced a short-notice big-screen viewing at Bryant Park
after the visit of president Donald Trump to MSG forced the cancelation of
a prev...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment