Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Real Madrid dakika ya 56 ikiwalaza mahasimu, Atletico Madrid 1-0 katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Bernabeu. Kwa ushindi huo, Real inafikisha point 49 katika mchezo wa 22 na kuendelea kuongoza La Liga, sasa ikiwazidi pointi sita mabingwa watetezi, Barcelona PICHA ZAIDI GONGA HAPA
TikTok Star Caden Davis Dismissed by OSU Ahead of CFP Title Game vs. Notre
Dame
-
As Ohio State gears up for Monday's College Football Playoff national
championship game against Notre Dame it will be doing so without one of its
most famous…
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment