Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Real Madrid dakika ya 56 ikiwalaza mahasimu, Atletico Madrid 1-0 katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Bernabeu. Kwa ushindi huo, Real inafikisha point 49 katika mchezo wa 22 na kuendelea kuongoza La Liga, sasa ikiwazidi pointi sita mabingwa watetezi, Barcelona PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Class' Janse van Rensburg a 'coach's dream' - Lam
-
Bristol centre Benhard Janse van Rensburg is a "coach's dream" to work
with, says director of rugby Pat Lam.
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment