Kiungo wa Coastal Unon, Ayoub Semtawa (kushoto) akimtoka beki wa JKT Tanzania, Saad Akubabar katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1, JKT wakitangulia kwa bao la Adam Adam dakika ya 51 kabla ya Ayoub Lyanga kusawazishia Coastal kwa penalti dakika ya 61
I want to industrialise Africa, not chase billions — Dangote
-
Africa's richest man and President of the Dangote Group, Aliko Dangote, has
said his greatest ambition is not to accumulate wealth but to leave a
lasting...
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment