MAZOEZI YA YANGA SC KUELEKEA PAMBANO NA WATANI WA JAID, SIMBA SC JUMAMOSI UWANJA WA TAIFA
Mshambuliaji Mkongo wa Yanga SC, David Molinga 'Falcao' akiruka mazoezini leo kujiandaa na mpambano wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya watani wao wa jadi, Simba SC Jumamosi Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam
Kipa Mkenya wa Yanga SC, Farouk Shikharo akiruka mazoezini leo kujiandaa na mpambano wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya watani wao wa jadi, Simba SC Jumamosi Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam
Kiungo wa Yanga SC, Deus Kaseke akiruka mazoezini leo kujiandaa na mpambano wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya watani wao wa jadi, Simba SC Jumamosi Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam
Mshambuliaji wa Yanga SC, Ditram Nchimbi akiwa mazoezini leo kujiandaa na mpambano wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya watani wao wa jadi, Simba SC Jumamosi Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam
Beki wa Yanga SC, David Ally Mtoni 'Sonso' akiwa mazoezini leo kujiandaa na mpambano wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya watani wao wa jadi, Simba SC Jumamosi Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam
Kiungo Mnyarwanda wa Yanga SC, Patrick Sibomana akiwa mazoezini leo kujiandaa na mpambano dhidi ya watani wao wa jadi, Simba SC Jumamosi Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam
Mshambuliaji mpya wa Yanga SC, kutoka Ivory Coast, Yikpe Gilslain Gnamien akiwa mazoezini leo kujiandaa na mpambano wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya watani wao wa jadi, Simba SC Jumamosi Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam
Kiungo wa Yanga SC, Mapinduzi Balama akikokota mpira mazoezini leo kujiandaa na mpambano wa Jumamosi Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam
Wachezaji wa Yanga SC, wakiwa mazoezini leo kujiandaa na mchezo dhidi ya watani wao wa jadi, Simba SC Jumamosi Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam
ALL IN mit Marcel Sabitzer
-
Sechs Torbeteiligungen in den vergangenen drei Partien: Marcel Sabitzer ist
aktuell in bestechender Form. Nun kehrt er mit dem BVB nach Leipzig und
damit a...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment