Afisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Sunday Manara akitaja viingilio vya mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya mahasimu wao wa jadi, Yanga SC Jumamosi Uwanja wa Taifa Jijini. Wengine kulia ni Mtendaji Mkuu wa klabu, Senzo Mbatha na Mkurugenzi wa Wanachama na Mashabiki, Hashim Mbaga na viingilio ni Sh. 30,000 VIP, Sh. 20,000 VIP B na C na Sh. 7000 kwa mzunguko
The 'big brother' helping Arteta's Arsenal 'over the line'
-
As Arsenal pursue a first Premier League title in 22 years, BBC Sport looks
at how the relationship between Mikel Arteta and his assistant, Gabriel
Heinze,...
37 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment