Afisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Sunday Manara akitaja viingilio vya mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya mahasimu wao wa jadi, Yanga SC Jumamosi Uwanja wa Taifa Jijini. Wengine kulia ni Mtendaji Mkuu wa klabu, Senzo Mbatha na Mkurugenzi wa Wanachama na Mashabiki, Hashim Mbaga na viingilio ni Sh. 30,000 VIP, Sh. 20,000 VIP B na C na Sh. 7000 kwa mzunguko
Trump: Nigerians don’t need to be told security has improved – Dalung
-
Former Minister of Youth and Sports, Solomon Dalung, has downplayed US
President Donald Trump's recent praise of President Bola Tinubu’s efforts
to tackl...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment