Cristiano Ronaldo akifurahia baada ya kufungia Juventus bao la tatu dakika ya 88 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Bayer Leverkusen kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Mabao mengine ya Juventus yamefungwa na Gonzalo Higuain dakika ya 17 na Federico Bernardeschi dakika ya 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dolphins' Tyreek Hill: 'It's About to Get Ugly' After Odell Beckham Jr.'s
Contract
-
Tyreek Hill has sent a message to the rest of the NFL after the Miami
Dolphins landed Odell Beckham Jr. in free agency. Per NFL Network's Ian
Rapoport and ...
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment