Memphis Depay akishangilia baada ya kuifungia Uholanzi mabao mawili dakika za 80 na 90 na ushei la tatu kwenye ushindi wa 3-1 dhidi ya Ireland ya Kaskazini kwenye mchezo wa Kund C kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Feijenoord mjn Rotterdam. Bao la pili la Uholanzi lilifungwa na Frenkie de Jong dakika ya 90 na ushei, wakati la Ireland limefungwa na Josh Magennis dakika ya 75 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Darts star thrown out of World Championship after failing drugs test
-
Taylor, 27, cruised to a 3-0 win over Oskar Lukasiak on his Alexandra
Palace debut last Sunday and was due to face Jonny Clayton in the second
round of the...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment