• HABARI MPYA

    Friday, October 11, 2019

    DEPAY AFUNGA MABAO MAWILI UHOLANZI YAICHAPA IRELAND 3-1

    Memphis Depay akishangilia baada ya kuifungia Uholanzi mabao mawili dakika za 80 na 90 na ushei la tatu kwenye ushindi wa 3-1 dhidi ya Ireland ya Kaskazini kwenye mchezo wa Kund C kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Feijenoord mjn Rotterdam. Bao la pili la Uholanzi lilifungwa na Frenkie de Jong dakika ya 90 na ushei, wakati la Ireland limefungwa na Josh Magennis dakika ya 75 
       
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DEPAY AFUNGA MABAO MAWILI UHOLANZI YAICHAPA IRELAND 3-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top