Memphis Depay akishangilia baada ya kuifungia Uholanzi mabao mawili dakika za 80 na 90 na ushei la tatu kwenye ushindi wa 3-1 dhidi ya Ireland ya Kaskazini kwenye mchezo wa Kund C kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Feijenoord mjn Rotterdam. Bao la pili la Uholanzi lilifungwa na Frenkie de Jong dakika ya 90 na ushei, wakati la Ireland limefungwa na Josh Magennis dakika ya 75 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Adelabu denies defection rumours, affirms loyalty to APC
-
The camp of former Minister of Power and All Progressives Congress (APC)
governorship aspirant in Oyo State, Chief Adebayo Adelabu, has dismissed
reports...
21 seconds ago



.png)
0 comments:
Post a Comment