Memphis Depay akishangilia baada ya kuifungia Uholanzi mabao mawili dakika za 80 na 90 na ushei la tatu kwenye ushindi wa 3-1 dhidi ya Ireland ya Kaskazini kwenye mchezo wa Kund C kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Feijenoord mjn Rotterdam. Bao la pili la Uholanzi lilifungwa na Frenkie de Jong dakika ya 90 na ushei, wakati la Ireland limefungwa na Josh Magennis dakika ya 75 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Erik ten Hag promises to keep Kobbie Mainoo in line after his England
exploits... as the Man United boss insists he 'wasn't surprised' the
midfielder shone for the Three Lions
-
CHRIS WHEELER: Erik ten Hag says Manchester United will intervene if the
hype around Kobbie Mainoo ever threatens to go to the player's head.
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment