Nahodha wa Croatia, Luka Modric akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza dakika ya tano katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Hungary kwenye mchezo wa Kundi E kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Stadion Poljud mjini Split. Mabao mengine ya Croatia yamefungwa na Bruno Petkovic dakika ya 24 na 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Auckland FC vs Tottenham - pre-season friendly LIVE: Roberto De Zerbi names
youthful side for first preseason game Down Under
-
Follow Daily Mail's live coverage for the latest updates of Tottenham
Hotspur's pre-season match with Auckland FC in New Zealand.
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment