Nahodha wa Croatia, Luka Modric akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza dakika ya tano katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Hungary kwenye mchezo wa Kundi E kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Stadion Poljud mjini Split. Mabao mengine ya Croatia yamefungwa na Bruno Petkovic dakika ya 24 na 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mohamed Salah APOLOGISED to Liverpool team-mates after 'thrown under the
bus' rant, reveals Curtis Jones - as he throws his backing behind Egyptian
-
Mohamed Salah apologised to his Liverpool team-mates after his infamous
rant, Curtis Jones has revealed.
43 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment