Nahodha wa Croatia, Luka Modric akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza dakika ya tano katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Hungary kwenye mchezo wa Kundi E kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Stadion Poljud mjini Split. Mabao mengine ya Croatia yamefungwa na Bruno Petkovic dakika ya 24 na 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Defiant Tuchel defends decisions and says loss is 'scar we carry now'
-
England head coach Thomas Tuchel defends his tactical decisions during the
World Cup semi-final defeat by Argentina in a tense news conference.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment