Mbrazil Willian akifumua shuti kuifungia Chelsea bao la ushindi dakika ya 77 ikiwalaza 2-1 wenyeji, Lille katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Pierre-Mauroy mjini Villeneuve d'Ascq. Bao la kwanza la Chelsea lilifungwa na Tammy Abraham dakika ya 22, wakati la Lille lilifungwa na Victor Osimhen dakika ya 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Declan Rice is targeted with vile chants about his girlfriend by Chelsea
fans during Arsenal clash - hours after she deleted her Instagram posts
following abuse from body-shaming trolls
-
Rice's long-term partner, Lauren Fryer (right) has deleted all of her
Instagram pictures after receiving a barrage of abuse online, which has
also taken pl...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment