Mbrazil Willian akifumua shuti kuifungia Chelsea bao la ushindi dakika ya 77 ikiwalaza 2-1 wenyeji, Lille katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Pierre-Mauroy mjini Villeneuve d'Ascq. Bao la kwanza la Chelsea lilifungwa na Tammy Abraham dakika ya 22, wakati la Lille lilifungwa na Victor Osimhen dakika ya 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Budget recklessness, bane of development in Nigeria under Tinubu
-
A budget is a financial plan that estimates your expected income and
expenses over a specific period. For a government, it is a comprehensive
financial s...
54 seconds ago



.png)
0 comments:
Post a Comment