Nahodha Lionel Messi akimpongeza mshambuliaji mwenzake, Luis Suarez baada ya kuifungia mabao yote mawili Barcelona dakika za 58 na 84 ikiilaza Inger Milan 2-1 usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Katika mchezo huo wa Kundi F, bao la Inter Milan lilifungwa na Lautaro Martínez dakika ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anthony Joshua fights back tears as he dedicates dramatic victory over
Kristian Prenga to two best friends killed in car crash as he recovers from
TWO knockdowns to win on return
-
CHARLOTTE DALY IN JEDDAH: Joshua, twice dropped by Prenga in the first
round before knocking him out in the second, admitted it had been 'tough'.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment