Sadio Mane na Roberto Firmino wakimpongeza mwenzao, Mohamed Salah baada ya kuifungia Liverpool mabao mawili katika ushindi wa 4-3 dhidi ya Salzburg kwenye mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Anfield. Salah alifunga dakika za 36 na 69, wakati mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na Sadio Mane dakika ya tisa na Andy Robertson dakika ya 25, wakati ya Salzburg yamefungwa na Hwang Hee-Chan dakika ya 39, Takumi Minamino dakika 56 na Erling Haland dakika ya
60 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
60 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment