Raheem Sterling (kushoto) akishangilia na Kevin De Bruyne (kulia) baada ya wawili hao kushirikiana kuipatia Manchester City bao la kwanza katika ushindi wa 7-0 dhidi ya Rotherham Jumapili kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu Kombe la FA England Uwanja wa Etihad. Mabao ya Man City yamefungwa na Sterling dakika ya 12, Phil Foden dakika ya 43, Semi Ajayi aliyejifunga dakika ya 45 na ushei, Gabriel Jesus dakika ya 52, Riyad Mahrez dakika ya 73, Nicolas Otamendi dakika ya 78 na Leroy Sané dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bradley Cooper and Meek Mill cheer on their beloved 76ers courtside at
crucial Game 6 against the Knicks - days after MSG's celebrity row boasted
Sting, Offset and Cardi B
-
Bradley Cooper and Meek Mill were sat courtside to cheer on their beloved
Philadelphia 76ers for the team's crucial Game 6 of an Eastern Conference
playoff...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment