Kipa Danijel Subasic amekuwa shujaa wa Croatia baada ya kuokoa penalti tatu za Denmark leo Uwanja wa Nizhny Novgorod mjini Novgorod, Urusi na kuipeleka timu yake Robo Fainali Kombe la Dunia ambako itakutana na wenyeji, Urusi. Mchezo huo ulimalizika kwa sare ya 1-1 ndani ya dakika 120, Mathias Jorgensen akianza kuifungia Denmark dakika ya kwanza, kabla ya Mario Mandzukic kuisawazishia Croatia dakika ya nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England number eight Vunipola arrested in Majorca
-
England number eight Billy Vunipola is arrested in Spain following an
alleged incident in a bar in the early hours of Sunday morning.
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment