Mshambuliaji mpya wa DC United, Wayne Rooney akishangili na wachezaji wenzake, Yamil Asad na Taylor Kemp baada ya kutokea benchi na kuisaidia timu yake kushinda 3-1 dhidi ya Vancouver Whitecaps kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Marekani (MLS) alfajiri ya leo Uwanja wa Audi Field mjini Washington, DC. Mabao ya DC yamefungwa na Yamil Asad dakika ya 27, Paul Arriola dakika ya 69 na 80 kwa pasi ya Rooney wakati la kufutia machozi la timu ya Canada, Vancouver Whitecaps PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Artemi Panarin, Rangers Championed By NHL Fans for Sweeping Alex Ovechkin,
Capitals
-
The New York Rangers are the first team to advance in the 2024 Stanley Cup
Playoffs. After taking the first three games of the series against the
Washington…
47 minutes ago
0 comments:
Post a Comment