Mshambuliaji mpya wa DC United, Wayne Rooney akishangili na wachezaji wenzake, Yamil Asad na Taylor Kemp baada ya kutokea benchi na kuisaidia timu yake kushinda 3-1 dhidi ya Vancouver Whitecaps kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Marekani (MLS) alfajiri ya leo Uwanja wa Audi Field mjini Washington, DC. Mabao ya DC yamefungwa na Yamil Asad dakika ya 27, Paul Arriola dakika ya 69 na 80 kwa pasi ya Rooney wakati la kufutia machozi la timu ya Canada, Vancouver Whitecaps PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sarah Palin's NHL legend boyfriend found unconscious at home and rushed to
hospital... five months after revealing cancer diagnosis
-
The 69-year-old hockey icon - who publicly revealed earlier this year that
he is battling stage IV colon cancer - fainted at his residence before
being tra...
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment