Bondia Lucas Matthysse akiwa amelala chini baada ya kuangushwa na mpinzani wake, Manny Pacquiao usiku wa kuamkia leo katika pambano la kuwania taji la WBA uzito wa welter mjini Kuala Lumpur, Malaysia. Kuala Lumpur on Sunday. Pacquiao mwenye umri wa miaka 39, ameshinda kwa Knockout (KO) raundi ya saba baada ya kumuangusha Matthysse mara tatu na kuweka rekodi ya kushinda mapambano 60 kati ya 69 aliyocheza, akipoteza saba na sare mbili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sarah Palin's NHL legend boyfriend found unconscious at home and rushed to
hospital... five months after revealing cancer diagnosis
-
The 69-year-old hockey icon - who publicly revealed earlier this year that
he is battling stage IV colon cancer - fainted at his residence before
being tra...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment