Bondia Lucas Matthysse akiwa amelala chini baada ya kuangushwa na mpinzani wake, Manny Pacquiao usiku wa kuamkia leo katika pambano la kuwania taji la WBA uzito wa welter mjini Kuala Lumpur, Malaysia. Kuala Lumpur on Sunday. Pacquiao mwenye umri wa miaka 39, ameshinda kwa Knockout (KO) raundi ya saba baada ya kumuangusha Matthysse mara tatu na kuweka rekodi ya kushinda mapambano 60 kati ya 69 aliyocheza, akipoteza saba na sare mbili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester United F.C. News
-
The task is simple: for each Academy graduate number, name the player.
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment