Bondia Lucas Matthysse akiwa amelala chini baada ya kuangushwa na mpinzani wake, Manny Pacquiao usiku wa kuamkia leo katika pambano la kuwania taji la WBA uzito wa welter mjini Kuala Lumpur, Malaysia. Kuala Lumpur on Sunday. Pacquiao mwenye umri wa miaka 39, ameshinda kwa Knockout (KO) raundi ya saba baada ya kumuangusha Matthysse mara tatu na kuweka rekodi ya kushinda mapambano 60 kati ya 69 aliyocheza, akipoteza saba na sare mbili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🔥 On a par with Kane: Bundesliga striker posts incredible stats
-
Harry Kane (37), Michael Olise (29), and Luis Díaz (29) are dominating the
Bundesliga in terms of scorer points at will. However, currently, one
player is ...
57 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment