• HABARI MPYA

    Monday, July 16, 2018

    RONALDO AKABIDHIWA JEZI AIPENDAYO NAMBA 7 JUVENTUS

    Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo akifurahia na jezi namba saba (7) ya klabu yake mpya, Juventus baada ya kutambulishwa leo kufuatia kukamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 100 kutoka Real Madrid 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO AKABIDHIWA JEZI AIPENDAYO NAMBA 7 JUVENTUS Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top