Neymar akiwa amebewa mabegani na Paulinho baada ya mshambuliaji huyo kuifungia Brazil bao la kwanza dakika ya 51 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Mexico leo kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia Uwanja wa Samara Arena nchini Urusi. Bao lingine la Brazil limefungwa na Roberto Firmino dakika ya 88 na sasa watakutana na mshindi kati ya Ubelgiji na Japan kwenye Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ex-NFL quarterback Johnny Manziel and new girlfriend Josie Canseco -
daughter of baseball legend Jose - make their relationship Instagram
official... as the couple share loved-up pictures at Stagecoach music
festival
-
Former NFL quarterback Johnny Manziel and model Josie Canseco have
confirmed their relationship on social medial, with the couple seen in
loved-up photos t...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment