Neymar akiwa amebewa mabegani na Paulinho baada ya mshambuliaji huyo kuifungia Brazil bao la kwanza dakika ya 51 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Mexico leo kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia Uwanja wa Samara Arena nchini Urusi. Bao lingine la Brazil limefungwa na Roberto Firmino dakika ya 88 na sasa watakutana na mshindi kati ya Ubelgiji na Japan kwenye Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Deschamps backs Olise to shine at World Cup after Bayern star’s hat-trick
in Northern Ireland win
-
Michael Olise impressed in France’s final friendly before the World Cup,
bagging a hat-trick in a 3-1 win over Northern Ireland on Monday
evening.After the...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment