Neymar akiwa amebewa mabegani na Paulinho baada ya mshambuliaji huyo kuifungia Brazil bao la kwanza dakika ya 51 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Mexico leo kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia Uwanja wa Samara Arena nchini Urusi. Bao lingine la Brazil limefungwa na Roberto Firmino dakika ya 88 na sasa watakutana na mshindi kati ya Ubelgiji na Japan kwenye Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sweet moment Sam Williamson celebrates Gold win with his partner after
stunning 100m breaststroke final - as Aussie team cleans up at Commonwealth
Games
-
Only a year ago, Williamson feared he may never walk again after rupturing
his patella tendon in training.
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment