Neymar akiwa amebewa mabegani na Paulinho baada ya mshambuliaji huyo kuifungia Brazil bao la kwanza dakika ya 51 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Mexico leo kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia Uwanja wa Samara Arena nchini Urusi. Bao lingine la Brazil limefungwa na Roberto Firmino dakika ya 88 na sasa watakutana na mshindi kati ya Ubelgiji na Japan kwenye Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cheltenham Festival LIVE: Tips and results from Champions Day as Kopek Des
Bordes, Lossiemouth and The New Lion headline action-packed opening day
-
Follow Daily Mail Sport's live blog of day one at the 2026 Cheltenham
Festival as we bring you the latest tips, racecards and results from one of
the bigge...
54 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment