Kiungo Mfaransa wa Manchester United, Paul Pogba akiwa amevaa jezi mpya ya nyumbani ya klabu hiyo kwa ajili ya msimu ujao. United wameweka kambi Marekani kujiandaa na msimu mpya, lakini Pogba ni miongoni mwa wachezaji ambao hawajaripoti baada ya fainali za Kombe la Dunia kwa ruhusa maalumu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
I was stuck in the Secret Service's steel ring around Madison Square
Garden... this is what I saw
-
New York does not do things quietly at the best of times but this was
something beyond even the city's usual flair for the dramatic - Midtown
Manhattan was...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment