Kikosi cha Yanga SC kabla ya mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Raja Casablanca ya Morocco mwaka 1998 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru) mjini Dar es Salaam ambao ulimalizika kwa sare ya 3-3. Kutoka Kulia waliosimama ni Mzee Abdallah, John Mwansasu, Manyika Peter, Abdallah Msheli na Alphonce Modest. Waliochuchumaa kutoka kulia ni Monja Liseki, Abdul Maneno, Mohammed Hussein 'Mmachinga', Edibily Lunyamila na Shaaban Ramadhani
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment