Kikosi cha Yanga SC kabla ya mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Raja Casablanca ya Morocco mwaka 1998 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru) mjini Dar es Salaam ambao ulimalizika kwa sare ya 3-3. Kutoka Kulia waliosimama ni Mzee Abdallah, John Mwansasu, Manyika Peter, Abdallah Msheli na Alphonce Modest. Waliochuchumaa kutoka kulia ni Monja Liseki, Abdul Maneno, Mohammed Hussein 'Mmachinga', Edibily Lunyamila na Shaaban Ramadhani
'Indefensible' and 'unacceptable' - furious Rosenior questions Chelsea's
desire
-
Chelsea boss Liam Rosenior strongly criticises his players after they
suffer a fifth loss in a row without scoring for first time since 1912.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment