Kikosi cha Yanga SC kabla ya mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Raja Casablanca ya Morocco mwaka 1998 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru) mjini Dar es Salaam ambao ulimalizika kwa sare ya 3-3. Kutoka Kulia waliosimama ni Mzee Abdallah, John Mwansasu, Manyika Peter, Abdallah Msheli na Alphonce Modest. Waliochuchumaa kutoka kulia ni Monja Liseki, Abdul Maneno, Mohammed Hussein 'Mmachinga', Edibily Lunyamila na Shaaban Ramadhani
Newcastle vs Manchester City - FA Cup fifth round LIVE: Latest score, team
news and updates as Erling Haaland is OUT of Pep Guardiola's squad for
clash at St James' Park
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Newcastle welcome Manchester City to St James' Park in the fifth
round o...
17 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment