// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); ARSENAL YAENDELEZA WIMBI LA USHINDI, YAICHAPA 2-0 BRIGHTON - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE ARSENAL YAENDELEZA WIMBI LA USHINDI, YAICHAPA 2-0 BRIGHTON - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Sunday, October 01, 2017

    ARSENAL YAENDELEZA WIMBI LA USHINDI, YAICHAPA 2-0 BRIGHTON

    Alex Iwobi akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Arsenal dakika ya 56 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Brighton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates. Bao la kwanza lilifungwa na Nacho Monreal dakika ya 16 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL YAENDELEZA WIMBI LA USHINDI, YAICHAPA 2-0 BRIGHTON Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top