Alex Iwobi akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Arsenal dakika ya 56 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Brighton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates. Bao la kwanza lilifungwa na Nacho Monreal dakika ya 16 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Indefensible' and 'unacceptable' - furious Rosenior questions Chelsea's
desire
-
Chelsea boss Liam Rosenior strongly criticises his players after they
suffer a fifth loss in a row without scoring for first time since 1912.
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment