Angel Di Maria (kushoto), Kylian Mbappe aliyebebwa na Neymar aliyezibwa wakipongezana baada ya wote kufunga katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Anderlecht kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya jana Uwanja wa Constant Vanden Stock mjini Brussel, Ubelgiji. Mbappe alifunga dakika ya tatu, Neymar 66 na Di Maria 88, wakati bao lingine la PSG lilifungwa na Edinson Cavani dakika ya 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Spurs replace keeper Kinsky in 17th minute after horror start
-
Tottenham replace goalkeeper Antonin Kinsky in the 17th minute after
conceding three goals inside the opening quarter of an hour of the
Champions League la...
59 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment