Mario Mandzukic akifuatwa na Paulo Dybala kupongezwa baada ya kuifungia Juventus bao la pili dakika ya 84 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Sporting CP kwenye mchezo wa Kundi D Ligi y Mabingwa Ulaya jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Bao lingine la Juve lilifungwa na Miralem Pjanic dakika ya 29, kufuatia Alex Sandro kujifunga dakika ya 12 kuwapatia Sporting bao la kuongoza mapema PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NCAA set to launch Nigeria’s first State safety programme to enhance
Aviation safety
-
From Sola Ojo, Abuja Nigeria’s aviation industry State Safety Programme
(SSP) document will soon be published as the Nigeria Civil Aviation
Authority (NC...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment