Mario Mandzukic akifuatwa na Paulo Dybala kupongezwa baada ya kuifungia Juventus bao la pili dakika ya 84 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Sporting CP kwenye mchezo wa Kundi D Ligi y Mabingwa Ulaya jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Bao lingine la Juve lilifungwa na Miralem Pjanic dakika ya 29, kufuatia Alex Sandro kujifunga dakika ya 12 kuwapatia Sporting bao la kuongoza mapema PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Timberwolves coach Chris Finch is injured by his own player after brutal
collision with Mike Conley... as concerned players surround 54-year-old
before he limps away late on in playoff win vs the Suns
-
Finch was sent tumbling to the ground when Timberwolves star Mike Conley
evaded a challenge from Devin Booker and moved towards the sideline before
hitting...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment