Kiungo wa Chelsea, Tiemoue Bakayoko akiucheza mpira kwa kichwa mbele ya mguu wa mchezaji wa Roma, Maxime Gonalons katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya jana Uwanja wa Stamford Bridge mjini London timu hizo zikitoka sare ya 3-3. Mabao ya Roma yalifungwa na Edin Dzeko mawili dakika za 64 na 70 na Aleksandar Kolarov dakika ya 40, wakati ya Chelsea yalifungwa na David Luiz dakika ya 11 na Eden Hazard mawili dakika za 37 na 75 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mikel Arteta and Josh Kroenke open up on fixing Arsenal's 'ugly' culture
that Gunners boss walked into six years ago before ruthless axeings - and
owner's secret chat with his dad that triggered the revolution
-
Mikel Arteta has lifted the lid on how he has changed Arsenal's 'ugly'
culture into a winning one who are now Premier League champions.
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment