Kiungo wa Chelsea, Tiemoue Bakayoko akiucheza mpira kwa kichwa mbele ya mguu wa mchezaji wa Roma, Maxime Gonalons katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya jana Uwanja wa Stamford Bridge mjini London timu hizo zikitoka sare ya 3-3. Mabao ya Roma yalifungwa na Edin Dzeko mawili dakika za 64 na 70 na Aleksandar Kolarov dakika ya 40, wakati ya Chelsea yalifungwa na David Luiz dakika ya 11 na Eden Hazard mawili dakika za 37 na 75 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Buy or Sell: NFL Teams Looking to End Playoff Droughts in 2024
-
This league is drenched in parity. The result is fun. Rarely do teams go
long without being at least somewhat competitive, as free agency, the
salary cap and…
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment