Beki Mats Hummels akienda juu kumalizia mpira wa kona wa Arjen Robben kuifungia bao la tatu Bayern Munich dakika ya 51 katika mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa jana Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich. Mabao mengine ya Bayern Munich yalifungwa na Thomas Muller dakika ya 17 na Joshua Kimmich dakika ya 29 huo ukiwa mwendelezo wa matokeo mazuri tangu kurejea kwa kocha Jupp Heynckes PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Agyemang-Badu certain Ghana will qualify for 2026 World Cup
-
Former Ghana international, Emmanuel Agyemang-Badu, has expressed optimism
about Black Stars' chances of qualifying for the 2026 World Cup.Ghana
revived th...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment