Beki Mats Hummels akienda juu kumalizia mpira wa kona wa Arjen Robben kuifungia bao la tatu Bayern Munich dakika ya 51 katika mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa jana Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich. Mabao mengine ya Bayern Munich yalifungwa na Thomas Muller dakika ya 17 na Joshua Kimmich dakika ya 29 huo ukiwa mwendelezo wa matokeo mazuri tangu kurejea kwa kocha Jupp Heynckes PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ED CHAMBERLIN: Sir Anthony McCoy was right... what a start! Now let's hope
the Drama delivers on day two
-
Sir Anthony McCoy wouldn't argue with me for saying this: usually, he's an
absolute misery to stand alongside - and that's even when he's got a bag of
choc...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment