Lionel Messi akishangilia baada ya kufunga mabao mawili katika dakika za 24 na 64 kwenye ushindi wa 5-0 dhidi ya Celta Vigo katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Nou Camp usiku wa jana. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Neymar Junior dakika ya 40, Ivan Rakitic dakika ya 57 na Samuel Umtiti dakika ya 61. Ushindi huo unairudisha kileleni mwa La Liga Barca ikifikisha pointi 60 baada ya kucheza mechi 26, mbele ya Real Madrid yenye pointi 59 za mechi 25 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
We are going to improve in the next game – Ghana U-15 coach Kwaku Danso
-
Ghana U-15 coach Kwaku Danso says his team will be even better in their
next game despite a strong showing at the ongoing CAF African Schools
Championship....
55 minutes ago
0 comments:
Post a Comment