Lionel Messi akishangilia baada ya kufunga mabao mawili katika dakika za 24 na 64 kwenye ushindi wa 5-0 dhidi ya Celta Vigo katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Nou Camp usiku wa jana. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Neymar Junior dakika ya 40, Ivan Rakitic dakika ya 57 na Samuel Umtiti dakika ya 61. Ushindi huo unairudisha kileleni mwa La Liga Barca ikifikisha pointi 60 baada ya kucheza mechi 26, mbele ya Real Madrid yenye pointi 59 za mechi 25 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
COUNTY CHAMPIONSHIP ROUND-UP: Joe Root scores his second century in a row
as Yorkshire take control and West Indies paceman Jayden Seales takes five
wickets in Sussex victory
-
LAWRENCE BOOTH: A week after hitting 119 against Derbyshire, he eased his
way to 156 from just 165 balls, putting on 265 with 22-year-old opener
Finlay Bea...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment