Roberto Firmino akipiga hesabu za kumtoka Alex Oxlade-Chamberlain baada ya kumuacha chini beki Shokdran Mustafi wa Arsenal katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Liverpool imeshinda 3-1, mabao yake yakifungwa na Roberto Firmino dakika ya tisa Sadio Mane dakika ya 40 na Georginio Wijnaldum dakika ya 90 na ushei wakati la Arsenal limefungwa na Danny Welbeck dakika ya 57 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Controversial footballer James McClean tipped to make shock career move and
fight KSI in BOXING match
-
James McClean has been backed to make a shock move into boxing where he
could 'do a bit of damage' to YouTuber-turned-fighter KSI. The Wrexham
footballer h...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment