Roberto Firmino akipiga hesabu za kumtoka Alex Oxlade-Chamberlain baada ya kumuacha chini beki Shokdran Mustafi wa Arsenal katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Liverpool imeshinda 3-1, mabao yake yakifungwa na Roberto Firmino dakika ya tisa Sadio Mane dakika ya 40 na Georginio Wijnaldum dakika ya 90 na ushei wakati la Arsenal limefungwa na Danny Welbeck dakika ya 57 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trophies on your mind: renew your Season Ticket now
-
We’ve got trophies on our mind today thanks to the Hoops securing the
Double after a victory over Dunfermline on Saturday (May 23).Martin O’Neill
has broug...
32 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment