Roberto Firmino akipiga hesabu za kumtoka Alex Oxlade-Chamberlain baada ya kumuacha chini beki Shokdran Mustafi wa Arsenal katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Liverpool imeshinda 3-1, mabao yake yakifungwa na Roberto Firmino dakika ya tisa Sadio Mane dakika ya 40 na Georginio Wijnaldum dakika ya 90 na ushei wakati la Arsenal limefungwa na Danny Welbeck dakika ya 57 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tom Brady rips the Chiefs over Taylor Swift and her fans amid Travis Kelce
romance during his own Netflix roast
-
After the onslaught of jokes about ex-wife Gisele and Spygate, the former
quarterback had the chance of his own at a few quips. And he seized the
opportuni...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment