Roberto Firmino akipiga hesabu za kumtoka Alex Oxlade-Chamberlain baada ya kumuacha chini beki Shokdran Mustafi wa Arsenal katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Liverpool imeshinda 3-1, mabao yake yakifungwa na Roberto Firmino dakika ya tisa Sadio Mane dakika ya 40 na Georginio Wijnaldum dakika ya 90 na ushei wakati la Arsenal limefungwa na Danny Welbeck dakika ya 57 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kieran Trippier is 'stitched up by mates who spent over £9,500' at a
Newcastle strip club - before 'putting hefty tab under full-back's name'
-
Reports claim the Newcastle star was not present at the club - however his
name still appeared on the bill, which included 76 £100 tokens for personal
dances.
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment