Refa akimuhesabia David Haye aliyeketi kulia baada ya ngumi za mpinzani wake, Tony Bellew katika pambano la uzito wa juu usiku wa jana ukumbi wa O2 Arena mjini London. Bellew alishinda kwa Technical Knockout (KO) raundi ya 11 na Haye aliyeumia mguu mwanzoni mwa pambano jambo lililomsababishia kipigo kikali jana, alikimbizwa hospitali baada ya pambano hilo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Caitlin Clark Hyped as 'Real Deal' By WNBA Fans Despite Fever Preseason
Loss to Wings
-
Caitlin Clark made a strong first impression in her WNBA preseason debut on
Friday night. Although the Indiana Fever fell to the Dallas Wings by the
final…
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment