Refa akimuhesabia David Haye aliyeketi kulia baada ya ngumi za mpinzani wake, Tony Bellew katika pambano la uzito wa juu usiku wa jana ukumbi wa O2 Arena mjini London. Bellew alishinda kwa Technical Knockout (KO) raundi ya 11 na Haye aliyeumia mguu mwanzoni mwa pambano jambo lililomsababishia kipigo kikali jana, alikimbizwa hospitali baada ya pambano hilo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brisbane Lions star Lachie Neale slams COWARDLY fans after copping abuse on
social media following shock AFL loss to Collingwood on Thursday
-
Brisbane Lions co-captain Lachie Neale has delivered a blistering rebuke to
online trolls after a wave of abuse followed the team's shock 52-point loss
to ...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment