Refa akimuhesabia David Haye aliyeketi kulia baada ya ngumi za mpinzani wake, Tony Bellew katika pambano la uzito wa juu usiku wa jana ukumbi wa O2 Arena mjini London. Bellew alishinda kwa Technical Knockout (KO) raundi ya 11 na Haye aliyeumia mguu mwanzoni mwa pambano jambo lililomsababishia kipigo kikali jana, alikimbizwa hospitali baada ya pambano hilo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Up a curb and into a metal fence': Tesla reveals concerning self-driving
taxi crash data
-
Tesla had previously been the only autonomous driving company to fully
redact all of its crash reports.
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment