Karim Benzema (kushoto) akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 14 na 25 katika ushindi wa 4-1 wa Real Madrid leo Uwanja wa Bernabeu dhidi ya Eibar kwenye mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Real yamefungwa na James Rodriguez dakika ya 29 na Marco Asensio dakika ya 60, wakati la wageni lilifungwa na Ruben Pena dakika ya 72 na kwa ushindi huo timu ya kocha Zinadine Zidane inarejea kileleni mwa Liga ikifikisha pointi 59 baada ya kucheza mechi 25, mbele ya Barcelona wenye pointi 57 za mechi 25 pia, ambao baadaye watacheza mechi ya 26 dhidi ya Celta de Vigo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tennis bad boy Nick Kyrgios tests positive for cocaine and will 'step away
from public life to get myself right' as he faces controversial end to his
career, aged 31
-
The former Wimbledon finalist has endured a checkered few years after
suffering persistent injury, and admitted that the toll they have taken on
his career...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment