Danny Drinkwater akimuinua juu Riyad Mahrez baada ya kufunga bao la pili dakika ya 59 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Hull City leo Uwanja wa King Power katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Leicester yalifungwa na Christian Fuchs dakika ya 27 na Tom Huddlestone aliyejifunga dakika ya 90, wakati la Hull lilifungwa na Sam Clucas dakika ya 14. Huu ni ushindi wa pili mfululizo tangu imfukuze kocha Claudio Ranieri ikiwa chini ya kocha wa muda, Craig Shakespeare PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Shop numbers return to growth after years of decline, say experts
-
However, England and Wales have still seen more than 6,000 retail premises
vanish from local communities over the past five years.
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment