Danny Drinkwater akimuinua juu Riyad Mahrez baada ya kufunga bao la pili dakika ya 59 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Hull City leo Uwanja wa King Power katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Leicester yalifungwa na Christian Fuchs dakika ya 27 na Tom Huddlestone aliyejifunga dakika ya 90, wakati la Hull lilifungwa na Sam Clucas dakika ya 14. Huu ni ushindi wa pili mfululizo tangu imfukuze kocha Claudio Ranieri ikiwa chini ya kocha wa muda, Craig Shakespeare PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australia's best women's footy stars slam the NRL for sticking them with
huge problem that would NEVER happen to men: 'Nobody realises the stress we
go through'
-
Queensland's Ali Brigginshaw and her NSW rival Tamika Upton will be bitter
enemies when this year's series starts on Thursday - but right now they're
both ...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment