Suruali ya kocha wa Real Madrid, Zinadine Zidane ikiwa imechanika usiku wa jana wakati akishangilia ushindi wa 3-0 dhidi ya Wolfsburg ya Ujerumani, mabao yote yakifungwa na Cristiano Ronaldo katika mchezo wa marudiano Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Uwanja wa Bernabeu na kutinga Nusu Fainali kwa ushindi wa jumla wa 3-2 baada ya awali kufungwa 2-0 Ujerumani. Kocha wa zamani wa Barcelona, Pep Guardiola aliwahi kupatwa na mkasa huo katika klabu yake ya sasa Bayern Munich akishangilia ushindi wa 6-1 dhidi ya Porto mwaka jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aussie cricket sensation Jake Fraser-McGurk sends strong message to
selectors that should have David Warner worried
-
Just days before Australia name their T20 World Cup squad, Jake
Fraser-McGurk has made an irresistible demand for a place with his latest
staggering innings.
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment